ZIMEBAKI SIKU 4 KUELEKEA KWENYE UTARATIBU MPYA WA KUPOKEA MAKALA ZA AFYA.


 


Ni matumaini yetu kuwa unaendelea vizuri kabisa na unayafurahia maisha yako kila siku hali ya kuwa kuna baadhi wapo kweye changamoto tofauti tofauti kama vile maradhi.

Siku chache zilizopita ulipokea ujumbe wenye taarifa fupi kuhusu mabadiliko ya mfumo wa upokeaji makala za afya kupitia mtandao wa AFYA NI YANGU, hii ni katika kuboresha huduma hii kwa kila mwanafamifilia wa kundi hili.

Baada ya taarifa hiyo tulitoa fursa kwa kila mwanafamilia wa mtandao wa Afya ya uzazi na mtoto kuutumia muda huu kuuliza maswali kuhusiana na afya ya binadamu na kupatiwa jibu sahihi la swali lako.

Siku chache zilizopita baada ya taarifa hiyo haukupoke tena makala yoyote mpya kutoka kwetu na hautapokea makala mpya kwa sasa hadi itakapofika tarehe 1/6/2017.

Kabla ya tarehe hiyo utapokea ujumbe utakao elezea mfumo mpya wa upokeaji makala.
Rafiki tumia fursa hii vyema kwani yawezekana ukakosa fursa pana kama hii ya kuuliza maswali muda wowote, kulingana na ratiba ya wiki itakavyoonesha hapo baadae.

Tunakutakia kila la kheri rafiki yetu, chukua maarifa kupitia mtandao huu kwa kuimarisha afya yako na hata rafiki yako pia.

“Afya bora ndio msingi wa mafanikio yako”
Kwa maoni, ushauri, TIBA NA DAWA, Piga simu namba: 0652028582 au 0652394698 au 0654502550.

Whatsap group: AFYA NI YANGU,
Facebook Page: AFYA NI YANGU.

#TRIPLE MINDED.

Jaza form hii kupokea makala za 'Afya Ni Yangu'

* indicates required